Showing 1-20 of 36 items.

Ole wao hao wapunjao!

Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe.

Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani hupunguza.

Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa

Katika Siku iliyo kuu,

Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?

Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin.

Unajua nini Sijjin?

Kitabu kilicho andikwa.

Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha!

Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.

Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.

Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!

Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma.

Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.

Kisha wataingia Motoni!

Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.

Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I"liyyin.

Na nini kitakacho kujuvya nini I"liyyin?

Kitabu kilicho andikwa.

Error (#32)

Error (#32)

An internal server error occurred.

The above error occurred while the Web server was processing your request.

Please contact us if you think this is a server error. Thank you.